Bondia Karim Mandonga “Mtu Kazi” sasa amehamishia hasira zake kwa bondia Dullah Mbabe akitaka kupambana nae baada ya kutokea kujibizana kwa maneno baina yao.
Mandonga ambaye amekua maarufu nchini kutokana na kuwa na maneno ya shombo huku akipoteza mapambano licha ya kupewa kipaumbele kutokana na mikwara yake na maneno ya vitisho.
Mara ya mwisho bondia huyo alipigwa kwa Knock Out na Shabani Kaoneka katika pambano lililofanyika mjini Songea mkoani Ruvuma katika raundi ya nne tu.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.