Home Masumbwi Mwakinyo,Mfilipino Rekodi Zinaongea

Mwakinyo,Mfilipino Rekodi Zinaongea

by Sports Leo
0 comments

Bondia Hassan Mwakinyo anatarajiwa kupambana na bondia raia wa ufilipino Arney Tinampay katika pambano la uzito la Super welter litakalofanyika katika uwanja wa Uhuru nchini tarehe 29 Novemba pambano linalotarajiwa kuwa na raundi 10.

Tinampay bondia namba moja nchini humo katika uzito wa super welter hajapoteza pambano lolote la knock out(Ko) katika jumla ya mapambano 51 aliyocheza huku akipoteza mapambano 24 na akiwa na uzoefu katika kupambana na akishika nafasi ya 202 kwa ubora duniani.

Mwakinyo anayeshika nafasi 19 kwa ubora duniani atakupamba na mfilipino huyo huku akilinda asipoteze pambano hilo ili kulinda nafasi yake ya ubora duniani.

banner

“Ni pambano gumu kwangu na nalichukulia kama pambano la kufa na kupona”Alisema Mwakinyo anayesifika kwa ngumi zito huku promota wa pambano hilo Jay msangi akiahidi kuwa na mapambano manne ya utangulizi.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited