Home Masumbwi Nguo Zamponza Wilder

Nguo Zamponza Wilder

by Dennis Msotwa
0 comments

Bondia Mmarekani, Deontay Wilder, amesema uzito wa nguo alizovaa ndio sababu kubwa ya yeye kupoteza pambano lake dhidi ya bondia, Tyson Fury.

Bondia huyo mwenye vituko, alivaa nguo zilizotengenezwa na ngozi kama zile zilizovaliwa na jeshi la warumi hapo zamani za kale.

banner

“Nilipofika raundi ya tatu, miguu yote iliisha nguvu. Nguo zile ndio zilizosababisha kwani zilikuwa na kilo nyingi, hivyo nilichoka kabla hata sijaingia ulingoni”.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited