Wachezaji kinda 10 wametajwa kuwania tuzo ya mchezaji chipukizi kwa mwaka 2021 na jarida la French magazine huku mchuano mkali ukitazamiwa kuwa kati ya Pedri wa Barcelona,Bukayo Saka wa Arsenal na Jude Bellingham wa Dortmund.
Tuzo hiyo inashikiliwa na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa na PSG Kylian Mbappe aliyeshinda mwaka 2020.
Majina kamili ya walioingia katika kinyanganyiro ni kama ifuatavyo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.