Home Soka 10 kuwania tuzo ya mchezaji chipukizi 2021

10 kuwania tuzo ya mchezaji chipukizi 2021

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji kinda 10 wametajwa kuwania tuzo ya mchezaji chipukizi kwa mwaka 2021 na jarida la French magazine huku mchuano mkali ukitazamiwa kuwa kati ya Pedri wa Barcelona,Bukayo Saka wa Arsenal na Jude Bellingham wa Dortmund.

Tuzo hiyo inashikiliwa na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa na PSG Kylian Mbappe aliyeshinda mwaka 2020.

Majina kamili ya walioingia katika kinyanganyiro ni kama ifuatavyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited