Home Soka 150m Zamvuta Kibu Yanga sc

150m Zamvuta Kibu Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Inadaiwa kwamba klabu ya Yanga sc na Mbeya city Fc zimekubaliana kuuziana mchezaji Kibu Dennis kwa gharama zinazokadiriwa kufikia shilingi milioni 150 kwa mkataba wa miaka minne.

Makubaliano hayo yamefikiwa baada ya kuwa na mazungumzo kwa muda mfupi huku dau hilo likijumuisha na kununua mkataba wake uliobaki katika klabu ya Mbeya city ambapo timu hizo zimekubaliana.

Kwa mujibu wa taarifa za ndani hivi sasa imebaki mchezaji kusaini mkataba pekee ambapo atajiunga nan Yanga sc mwishoni mwa msimu huu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited