Home Soka Acheni Bla Bla-Eymael

Acheni Bla Bla-Eymael

by Sports Leo
0 comments

Licha ya kuzagaa kwa taarifa za klabu ya Yanga kumhitaji kiungo wa Simba sc Cletous Chama,Kocha wa klabu ya Yanga sc Luc Eymael amedai hizo ni bla bla za usajili na wala hakuna mpango huo.

Kocha huyo mbeligiji amethibitisha kwamba tayari ameshakabidhi ripoti yake kwa uongozi na hakuna jina la kiungo huyo Mzambia ambaye amesababisha Simba kukimbilia kushtaki Shirikisho la soka nchini(Tff).

Kwa mujibu wa kocha huyo tayari ameshabainisha majembe muhimu ya kusajili hasa wa nafasi ya ushambuliaji kuja kuiongezea nguvu timu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited