Home Soka Adam Adam Aficha ya Uturuki

Adam Adam Aficha ya Uturuki

by Sports Leo
0 comments

Adam Adam wa JKT Tanzania ni miongoni mwa mastraika wazawa wenye mabao mengi Ligi Kuu Bara msimu hii (mabao saba).

Mshambuliaji huyo hataki kuongelea ishu ya kwenda kufanya majaribio nchini Uturuki, ingawa anakiri kuwa ni kweli alikwenda na kwamba mwenye mamlaka ya kulizungumzia hilo ni wakala wake anayeishi nje.

“Ninachojua April kila kitu kitakuwa wazi, ila siwezi kuzungumza ni kwa namna gani, lakini pia nilijifunza mengi sana Uturuki kwa muda wa wiki mbili nilizokaa huko, kama kujitambua na kuishi maisha sahihi ya soka, mtazamo wangu kuwa mpana kuliko kushindwa na vitu dhaifu,” anasema.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited