Home Soka Arsenal yaanza vibaya EPL

Arsenal yaanza vibaya EPL

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Arsenal imeshindwa kupata ushindi katika mchezo wa ufunguzi wa ligi kuu soka nchini Uingereza baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Brentford iliyopanda daraja msimu huu.

Brentford ilijipatia uongozi kunako dakika ya 22 kupitia kwa  Sergi Canos,kabla ya kuongeza lingine dakika ya 73 kupitia Christian Norgaard na kuzima ndoto za Gunners kuondoka na pointi katika mchezo huo.

Arsenal ilimkosa nahodha wake Pierre Aubameyang pamoja na straika Alexander Lacazete waliopata majeraha madogo kuelekea mchezo huo uliopigwa katika dimba la Brentford Community Stadium Magharibi mwa London.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited