Home Soka Asukile Ala Kibano Tff

Asukile Ala Kibano Tff

by Sports Leo
0 comments

Beki Benjamini Asukile wa Prisons amekumbana na adhabu ya kufungiwa mechi tano pamoja na faini ya kiasi cha shilingi laki tano kufuatia kutoa shutuma za rushwa kwa klabu ya Yanga sc katika mchezo wa raundi ya nne ya kombe la shirikisho la Azam.

Baada ya mchezo huo uliomalizika kwa Yanga sc kuondoka na ushindi wa bao moja lililofungwa na Yacouba Sogne,Asukile alifanya mahojiano na Televisheni ya Azam na hapo akatoa shutuma hizo ambazo hazikua na uthibitisho tofgauti na maelekezo ya kanuni za mashindano hayo.

Katika barua ya kumfungia iliyotolewa na Tff imesema kwamba adhabu hiyo ataitumika kwa mechi zote za mashinano rasmi yaliyochinin ya shirikisho hilo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited