Home Soka AUCHO atua Yanga Sc

AUCHO atua Yanga Sc

by Dennis Msotwa
0 comments

Kiungo wa kimataifa wa Uganda Khalid Aucho amejiunga na klabu ya soka ya Yanga akitokea klabu ya soka ya Misr Lel Makkasa ya Misri kwa mkataba wa miaka miwili.

Kiungo huyo alikua pia akihusishwa na kujiunga na wekundu wa Msimbazi lakini ni Wananchi ndio walioshinda vita hiyo ya mafahali wawili wa soka la Tanzania.

Aucho amesema kuwa mazungumzo mazuri kati yake na Mkurugenzi wa uwekezaji wa GSM Injinia Hersi ndiyo yaliyomshawishi kujiunga na mabingwa hao wa kihistoria.

banner

 

 

 

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited