Home Soka Azam Fc Yamkomalia Chikwende

Azam Fc Yamkomalia Chikwende

by Sports Leo
0 comments

Perfect Chikwende limekua jina maarufu nchini baada ya kufunga bao katika ushindin wa 1-0 ilioupata Fc Platnum katika mchezo wa ligi ya mabingwa hatua ya mtoano dhidi ya Simba sc uliofanyika katika uwanja wa taifa wa Harare nchini Zimbabwe.

Chikwende ameingia katika anga za Azam Fc ambao wametuma ofa ili kumsajili nwinga huyo mwenye kasi huku ikidaiwa Prince Dube mzimbabwe mwenzie ndie anatumika kumshawishi winga huyo kutua klabuni hapo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited