Home Soka Azam Fc Yapata Pigo

Azam Fc Yapata Pigo

by Sports Leo
0 comments

Beki wa Azam FC, Yakubu Mohammed ataukosa mchezo wa ‘kiporo’ wa Ligi Kuu dhidi ya mabingwa watetezi, Simba kwa sababu ya kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano alizopata katika mechi zilizopita za mzunguko wa kwanza,

Kukosekana kwa beki huyo ni pigo kwa klabu ya Azam Fc kutokana na kuwa na uzoefu wa kutosha hasa anapocheza pamoja na mkongwe Aggrey Morris.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited