Home Soka Azam Fc yasajili bonge la kipa

Azam Fc yasajili bonge la kipa

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Azam Fc imekamilisha usajili wa golikipa wa KMKM ya Zanzibar Ahmed Suleiman ‘Salula’ kwa mkataba wa miaka miwili kukipiga katika viunga vya Chamazi.

Golikipa huyo anaenda kuchukua nafasi ya mlinda mlango David Kisu ambaye amefunguliwa mlango wa kutokea kuelekea Namungo Fc.

Azam Fc inaonekana kujidhatiti katika kuelekea msimu ujao wakidhamiria kufanya vizuri kwenye michuano mbalimbali kwa kufanya usajili wa nguvu na wa mapema.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited