Home Soka Azam Waimaliza Biashara

Azam Waimaliza Biashara

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Azam fc imeibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya timu ya biashara united katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Chamazi unaomilikiwa na klabu hiyo.

Iliwachukua Azam Fc dakika  mbili kuandika bao la kwanza lililofungwa na Idd Nado kabla ya kuongeza bao jingine lililofungwa na Nicolas Wadada dakika ya 21 huku wageni wakipata bao la kufutia machozi dakika 32 Innocent Edwin.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited