Site icon Sports Leo

Bado Yupo Sana Tu

Barcelona forward Lionel Messi celebrates after scoring his side's second goal during the Champions League quarterfinal, second leg, soccer match between FC Barcelona and Manchester United at the Camp Nou stadium in Barcelona, Spain, Tuesday, April 16, 2019. (AP Photo/Manu Fernandez) ORG XMIT: XDMV118

Licha ya kutokuelewana na mkurugenzi wa michezo wa klabu hiyo Erick Abidal.Wawili hao walijibizana maneno baada ya Abidal kuwatuhumu wachezaji wa timu hiyo kutojituma na kusababisha matokeo mabovu.

Licha ya mgongano huo imeripotiwa kwamba Lionel hana mpango wa kuondoka klabuni hapo,kauli ambayo imezika ngebe ya timu zilizokua zinamvizia staa huyo zikiwemo manchester united,manchester city,Juventus na Intermilan.

Messi bado ana mkataba na klabu hiyo mpaka mwaka 2021 na ameamua atatumikia mkataba wake uliosalia klabuni hapo.

Exit mobile version