Home Soka Barca Yamtimua Vervede

Barca Yamtimua Vervede

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Barcelona imemfuta kazi kocha Enesto Vervede baada ya kuwa na matokeo yasiyoridhisha licha ya kuongoza msimamo wa ligi kuu nchini humo(La liga).

Vervede alijiunga na Barca mwaka 2017akitokea Athletic Bilbao na amefanikiwa kuipa timu hiyo ubingwa wa ligi kuu mara mbili.

Licha uongozi wa timu hiyo kufanya mazungumzo na mchezaji wa zamani wa klabu hiyo Xavi Hernandez ili kumrithi Vervede, timu hiyo imemteua Quique Satien kuwa kocha mkuu akitokea Real Betis.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited