Home Soka Basi la Yanga sc Usipime

Basi la Yanga sc Usipime

by Sports Leo
0 comments

Afisa habari wa Yanga Hassan Bumbuli amesema wao wana mpango wa kushusha basi jipya kali kuliko lile TATA la watani wao Simba SC Tanzania.
“Yanga tupo katika mpango wa kushusha basi jipya kali kuliko lile Tata la wenzetu (Simba), sio kwamba mpango huu ni baada ya kuona wenzetu wameanza, hapana, bali ni mpango ambao tumekuwa nao kwa muda mrefu”
“Hivyo wapenzi wa Yanga wanatakiwa kutulia kwani tutashusha basi jipya na kali kwa ajili ya safari za wachezaji za hapa na pale,” alisema Bumbuli

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited