Home Soka BEKI SIMBA ATUA YANGA

BEKI SIMBA ATUA YANGA

by Dennis Msotwa
0 comments


Wakati msimu wa Ligi Kuu Bara ukielekea ukingoni, tetesi za wachezaji kuhama klabu moja kwenda nyingine zimezidi kushika kasi.

Imeelezwa kuwa beki katili Lamine Moro raia wa Ghana aliyeichezea klabu ya Simba kwenye michuano ya Sportpesa Cup amewashatua Dar kumalizana na Yanga.
Moro alikuwa na Simba katika mashindano hayo ya SportPesa ikiwa ni sehemu yake ya majaribio.
Licha ya kucheza, Simba haikuonekana kuwa na nia naye na badala yake aliachwa akarejea kwao bila kupata mkataba.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited