Home Soka Biashara United Yatafuta Mrithi wa Baraza

Biashara United Yatafuta Mrithi wa Baraza

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Biashara United imetanganza nafasi ya kazi ya Kocha mkuu kwa ajili ya kuifundisha timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara yenye maskani yake mkoani Mara.

Taarifa hiyo imetolewa na uongozi wa timu hiyo Jana Jumatatu Machi 22 ikiwa ni siku kadhaa baada ya kuondoka kwa aliyekuwa Kocha Mkuu wa chama hilo Francis Baraza aliyetimkia Kagera Sugar.

Kwa sasa kikosi hicho kipo chini ya aliyekuwa kocha msaidizi kabla Baraza hajaondoka hapo, Marwa Chamberi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited