Home Soka Bumbuli Aachiwa Huru

Bumbuli Aachiwa Huru

by Sports Leo
0 comments

Afisa Habari-Yanga Hassan Bumbuli ameshinda rufaa ya kufungiwa kujihusisha na masuala ya soka kwa miaka mitatu hukumu ambayo ilitolewa na TFF ikielezwa Bumbuli amekaidi uamuzi wa Kamati ya Maadili dhidi yake.

Taarifa za kushinda kwa rufaa ya Afisa huyo zimesambaa hivi leo katika mitandao mbalimbali huku bado taarifa rasmi kutoka shirikisho la soka nchini TFF ikiwa bado haijatoka.

Kwa maana hiyo, Bumbuli yupo huru kuendelea na shughuli za soka ikiwa ni pamoja na kuitumikia klabu yake ya Yanga.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited