Shirikisho la mpira wa miguu Afrika(CAF) limetoa taarifa ya kuruhusu mashabiki wachache kuhudhuria michezo ya klabu bingwa pamoja na ile ya kombe la shirikisho barani Afrik katika hatua hii ya pili ya mtoano kufuzu makundi.
Taarifa hiyo imetolewa na shirkisho la mpira wa miguu nchini(TFF)
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Kwa hatua hiyo ni fursa kwa vilabu vya Tanzania kupata nguvu ya mashabiki wake katika kuongeza hali ya upambanaji na kupata matokeo mazuri katika mechi za nyumbani.