Home Soka CAF Yatangaza Neema

CAF Yatangaza Neema

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la Soka barani Afrika “CAF”, rasmi limefungua milango kwa nchi wanachama kutuma maombi ya kuandaa fainali za michuano ya vilabu barani Afrika yaani klabu bingwa Afrika itakayofanyika Mei 25 na Kombe la Shirikisho Afrika itakayofanyika Mei 24 mwaka huu.

CAF imetaja vigezo katika barua yao ambavyo Shirikisho linatakiwa kuambatanisha ikiwa ni mojawapo ya sifa ya Mji kuandaa fainali hizi kubwa ngazi ya Vilabu Afrika ambapo mwisho wa kutuma maombi ni February 20.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited