Shirikisho la soka barani Africa CAF limetupilia mbali Malalamiko ya klabu ya Al Merreck ya Sudan dhidi ya Simba kufuatia wachezaji wao kukutwa na Covid19 walipokuja kucheza jijini Dar es salam.
El merrekh ilipeleka malalamiko Caf ikidai kuwa baadhi ya wachezaji wa klabu hiyo walipakaziwa kuwa na virusi vya Corona ili wasicheze mchezo huo ili kuifanya Simba sc ipate ushindi kirahisi zaidi.Soma Barua ya Caf waliyoitoa kuhusu suala hilo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.