Home Soka Caf Yatupilia Mbali Rufaa dhidi ya Simba sc

Caf Yatupilia Mbali Rufaa dhidi ya Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la soka barani Africa CAF limetupilia mbali Malalamiko ya klabu ya Al Merreck ya Sudan dhidi ya Simba kufuatia wachezaji wao kukutwa na Covid19 walipokuja kucheza jijini Dar es salam.

El merrekh ilipeleka malalamiko Caf ikidai kuwa baadhi ya wachezaji wa klabu hiyo walipakaziwa kuwa na virusi vya Corona ili wasicheze mchezo huo ili kuifanya Simba sc ipate ushindi kirahisi zaidi.Soma Barua ya Caf waliyoitoa kuhusu suala hilo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited