Home Soka Corona Yaifungua Caf

Corona Yaifungua Caf

by Sports Leo
0 comments

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limebadilisha sheria ya upimaji wa vipimo vya covid katika michezo kutokana na kuongezeka kwa malalamiko kwa baadhi ya timu nchini kuhusu uhalali wa majibu.

Awali timu za nyumbani zilihusika katika kupima ugonjwa huo kwa timu husika na timu ngeni. Kuanzia wikiendi hii CAF wataweka wawakilishi wao na kupima ugonjwa huo.

Lengo kubwa la kubadili utaratibu huo ni kuongeza ufanisi na usahihi wa majibu ili kuhakikisha timu ngeni hazionewa kwa kisingizio cha baadhi ya mastaa wana Covid ili kuwadhoofisha.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited