Home Soka Corona Yaleta Msiba Aston Villa

Corona Yaleta Msiba Aston Villa

by Sports Leo
0 comments

Ron Smith ambae ni Baba Mzazi wa kocha wa Aston Villa Dean Smith afariki Dunia hii leo baada ya kuugua Corona kwa muda wa wiki nne huku pia akisumbuliwa na maradhi mengine.

Dean Smith ambaye ni kocha wa mtanzana Mbwana Samata amefiwa na baba yake  huyo mwenye umri wa miaka 79 alikuwa anasumbuliwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu miezi sita iliyopita na alikutwa na Corona wiki nne zilizopita ugonjwa uliochukua uhai wake.

Ron Smith alikuwa shabiki mkubwa na mlinzi katika uwanja wa Ston Villa (Villa Park) kwa kipindi kirefu alikuwa ni miongoni mwa mashabiki walioshuhudia Aston Villa wakitwaa ubingwa wa Ulaya 1982.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited