Home Soka Corona Yawakwamisha Ighalo,Man Utd

Corona Yawakwamisha Ighalo,Man Utd

by Dennis Msotwa
0 comments

Klabu ya manchester United bado ina mpango wa kumpa mkataba wa kudumu msahambuliaji Odian Ighalo lakini inasubiri mpaka ligi kuu itakaporejea ili kuanzisha mazzungumzo na timu ya Shangai Shengua inayommiliki mshambuliaji huyo.

Ighalo alitua United kwa mkopo na baada ya kufanya vyema katika michezo kadhaa akifunga mbao manne katika michezo nane na kuivutia klabu hiyo iliazimia kumpa mkataba wa moja kwa moja baada ya ule wa mkopo kuisha may 31 mwaka huu.

Kikwazo kikubwa kwa Ighalo ni klabu yake ya awali ambayo inaonyesha haiko tayari kumuachia baada ya kumpa ofa ya mshahara wa paundi laki nne kwa wiki ili aendelee kubaki nchini China

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited