Barcelona imekamilisha usajili wa mshambuliaji Mephis Dapay kwa mkataba wa miaka miwili akitokea klabu ya Lyon Fc ya nchini Ufaransa.
Depay aliyewika na Manchester United kisha akapotea na kusababisha Man utd kumuuza kwenda Lyon Fc ambako ameng’aa na kuwavutia Barcelona kumsajili mshambuliaji huyo mwenye mwili ulioshiba.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.