Home Soka England Kiboko

England Kiboko

by Sports Leo
0 comments

Timu ya taifa ya Uingereza imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kossovo katika mchezo wa kundi A kuwania kufuzu michuano ya ulaya katika michezo ya raundi ya 1o.

Kwa ushidi huo Timu ya taifa ya England imeweka rekodi ya kufunga jumla ya magoli 17-0 katika michezo yake mitatu iliyopita.

Mabao ya Harry Winks dakika ya 32 na Harry kane 79′ huku dakika ya 83 Marcus Rashford akiongeza goli la tatu na Mason Mount akihitimisha kalama ya ushindi dakika za nyongeza za mchezo na kuipa pointi tatu timu hiyo yenye mastaa kibao wa ligi ya uingereza(Epl)

banner

Mara ya mwisho kwa timu hiyo kufunga mabao kama hayo ndani ya mechi tatu  ilikuwa May 1964 ampabo hivi sasa imefikisha pointi 21 kwa michezo 8 na kuongoza kundi A.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited