Home Soka Ericksen Kutua Man Utd

Ericksen Kutua Man Utd

by Sports Leo
0 comments

Aliyekuwa kiungo wa kati wa Tottenham Christian Eriksen, 28, yuko huru kuondoka Inter Milan mwezi Januari , afisa mkuu wa klabu hiyo ya Itali Beppe Marotta amethibitisha.

Kiungo huyo raia wa Denmark amekosa nafasi ya kuanza katika kikosi cha kwanza akianza michezo minne tu tangu ahamie klabuni hapo akitokea Tottenham Hotspurs huku akiwa hajawekwa hata benchi kwa mechi tatu mfululizo.

Inadaiwa Manchester United ni moja ya timu zinazoangalia uwezekano wa kumsajili kiungo huyo mwenye jicho la pasi pamoja na uwezo mkubwa wa kufunga mabao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited