Home Soka Euro mil 115zampeleka Lukaku Chelsea

Euro mil 115zampeleka Lukaku Chelsea

by Sports Leo
0 comments

Klabu za Chelsea na Inter Milan zimefikia makubaliano ya kuuziana mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji Romelu Lukaku kwa ada ya takriban i Euro milion 115.

Mchezaji huyo mamefanywa vipimo vya afya jijini Milan Italia na amesafiri kwenda London Uingereza kusaini mkataba wenye thamani ya Euro milioni 12 kwa mwaka na kutambulishwa rasmi ndani ya wiki hii.

Lukaku anakuwa usajili ghali zaidi katika historia ya klabu ya Chelsea na anarejea baada ya kuondoka darajani mwaka 2014.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited