Baada ya mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi simba SC, Mo Dewji kudai mpango wa mabadiliko wa Klabu ya simba SC inakwamishwa na FCC baada ya kuagizwa Kuanza upya kwa mchakato huo, Mkurugenzi wa FCC Dr.John Mduma amesema FCC hawawezi kuizungumzia Kesi ambayo bado haijatolewa maamuzi.
“Hatuwezi kuizungumzia Kesi ambayo maamuzi yake bado hayajatoka mana tume ya Ushindani (FCC) ni kama mahakama ya mwanzo kwenye Ushindani kwa hiyo hatuwezi kuizungumzia Kesi ambayo haijaamuliwa kwenye vyombo vya Habari”. – Dr.John Mduma Mkurugenzi FCC.
Cc:Clouds Fm
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.