Home Soka Fiston Atua nchini Kumalizana na Yanga sc

Fiston Atua nchini Kumalizana na Yanga sc

by Dennis Msotwa
0 comments

Mshambuliaji Fiston Mayele ametua katika ardhi ya Tanzania kumalizana na klabu ya Yanga sc akitokea katika klabu ya As Vita kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba.

Fiston ametua nchini na kupokelewa na Mkurugenzi wa uwekezaji wa Gsm injinia Hersi Said na kuelekea moja kwa moja yalipo makao makuu ya Gsm kwa ajili ya kusaini mkataba na mambo mengine.

Inasemekana mchezaji huyo atatambulishwa rasmi leo na anaweza kucheza katika michuano ya Kagame Cup inayotarajiwa kuanza hivi karibuni.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited