Klabu ya Ac Milan imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Olivier Giroud akitokea Chelsea alikohudumu kwa miaka mitatu.
Giroud alijiunga na Chelsea mwaka 2018 akitokea Arsenal kwa dau la paundi milioni 18.
Mshambuliaji huyo ametwaa mataji matatu akiwa na Chelsea ambayo ni FA cup, Europa league na UEFA champions ligi ametua Milan kwa ada ya paundi milioni 1.6 tu.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Giroud aliandika katika mtandao wake wa twitter ”ushindi wetu kwenye FA, Europa league na UEFA champions league ulikuwa wa kipekee sana, kwenye nyote the blues,wachezaji wenzangu na makocha wote asanteni sana kwa nyakati hizi nzuri”.