Home Soka Gollini atua Spurs

Gollini atua Spurs

by Sports Leo
0 comments

Tottenham Hotspurs imemsajili golikipa wa Atalanta ya Italia Pierluigi Gollini kwa mkopo wa msimu mzima huku kukiwa na kipengele cha kumnunua mwishoni mwa msimu.

Golloini anakuwa usajili wa kwanza kwa Spurs katika dirisha hili chini ya Nuno Espirityo Santo.

Mlinda mlango huyo alikuwepo kwenye kikosi cha Italia kilichotwaa ubingwa wa Euro 2020.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited