Tottenham Hotspurs imemsajili golikipa wa Atalanta ya Italia Pierluigi Gollini kwa mkopo wa msimu mzima huku kukiwa na kipengele cha kumnunua mwishoni mwa msimu.
Golloini anakuwa usajili wa kwanza kwa Spurs katika dirisha hili chini ya Nuno Espirityo Santo.
Mlinda mlango huyo alikuwepo kwenye kikosi cha Italia kilichotwaa ubingwa wa Euro 2020.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.