Home Soka Grealish ‘Done deal’ Man City

Grealish ‘Done deal’ Man City

by Dennis Msotwa
0 comments

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza Jack Grealish amekamilisha usajili wake wa kujiunga na mabingwa wa soka wa Uingereza Manchester City.

Grealish amekamilisha vipimo vya afya hii leo jijini Manchester na kusaini mkataba wa miaka mitano  kuwatumikia wananchi hao wa Uingereza.

Aston Villa wamepokea ada ya paundi milioni 100 za Kiingereza na kumfanya mchezaji huyo kuwa ghali zaidi mkatika historia ya ligi kuu ya Uingereza na kumfanya kuwa mchezaji anayeliwa zaidi katika ligi hiyo akipokea kiasi cha 350,000 kwa wiki.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited