Home Soka Haaland Huyoo Madrid

Haaland Huyoo Madrid

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Real Madrid imesema kuwa kwa msimu huu itahakikisha inapata saini ya mshambuliaji wa taifa la Norway na klabu ya Borussia Dortmund Erling Braut Halaand ili kujipa nafasi ya mwaka 2021 kupata saini ya mshambuliaji wa taifa la France na klabu ya PSG Kylian Mbappe.

Real Madrid umeamua kufanya ivo ilikuepukana na adhabu ambayo wanaweza kuipata kutoka UEFA ile ya Financial fear play (FFP) baada ya bei ya washambuliaji hao kuwa kubwa sokoni.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited