Home Soka “Hana Nafasi”

“Hana Nafasi”

by Sports Leo
0 comments

Mara baada ya Rais wa shirikisho la Kandanda la Ufaransa bwana “Noel Graet” kusema kuwa, Benzema kucheza timu ya Taifa haitowezekana, Karim Benzema amefunguka na kumjibu Rais huyo na kusema kuwa wamuache acheze taifa jingine.

“Jua kwamba, mimi pekee angu ndiye nitaamua lini nitaacha kucheza timu ya Taifa. Ikiwa unafikiria kwamba muda wangu wa kucheza timu ya Taifa umemalizika, basi niache nichezee nchi ambayo ninastahili kuichezea na tutaiona.” aliandika kwenye account yake ya Twitter.

Ikumbukwe kuwa Karim Benzema ana asili ya Algeria baada hapo awali alinukuliwa akisema Algeria ni “nchi yangu”.

banner

NB.habari kwa msaada wa Dominick Salamba

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited