Home Soka ‘Hatukata Tamaa’-Nugaz

‘Hatukata Tamaa’-Nugaz

by Dennis Msotwa
0 comments

Uongozi wa Yanga kupitia kwa Ofisa Uhamasishaji wa klabu hiyo, Antonio Nugaz umesema hawajakata tamaa ya ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwani bado wana nafasi ya kufanya vizuri katika michezo ijayo.

“Hatujakata tamaa. Tuendelee kupambana kwenye kila mchezo kwa kila namna, ibakie kuwa ni matokeo ya mpira na bahati ya siku yenyewe.”

“Hapa lengo letu ni moja tu, kuendelea kupambana hadi pumzi yetu ya mwisho, na tunaamini tutapata tunachokikusudia, na hicho sio kingine zaidi ya ubingwa wa Tanzania Bara ambao tumeukosa kwa misimu mitatu mfululizo,” alisema Nugaz

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited