Home Soka Kahata,Shikhalo Watwaa Tuzo

Kahata,Shikhalo Watwaa Tuzo

by Sports Leo
0 comments

Wachezaji Francis Kahata na kipa Farouk Shikhalo wameibuka wachezaji bora wa kombe la Mapinduzi cup lililomalizika visiwani Zanzibar.

Kahata ambaye kwenye michezo ya ligi amekua hapati nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza amecheza michezo yote katika kombe la mapinduzi na kuibuka mchezaji bora wa michuano hiyo huku Farouk Shikhalo akiibuka kipa bora baada ya kuonyesha umahiri wa kutosha hasa katika kuokoa michomo ya penati.

Miraji Athuman ameibuka mfungaji bora wa michuano akifunga mabao manne huku Joash Onyango akiibuka mchezaji bora wa mechi ya fainali.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited