Home Soka Kakolanya Asaini Miwili Simba sc

Kakolanya Asaini Miwili Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Vinara wa Ligi Kuu, Simba wanaendelea kuimarisha kikosi chao kwa kuwaongeza mikataba wachezaji ambao mwisho wa msimu huu unamalizika.

Jana Juni 7, walimazana na kipa wao namba mbili, Beno Kakolanya katika suala la kumuongeza mkataba mpya wa miaka miwili kwani ule wa awali unamalizika mwisho wa msimu huu.

Simba walimsajili Kakolanya kutokea Yanga 2019-20, kwa mkataba wa miaka miwili ambao mwisho wa msimu huu ulikuwa unamalizika huku kocha wa makipa wa klabu hiyo akisisitiza kuwa anahitaji kusalia na makipa wote watatu waliopo klabuni hapo hivyo kurahisisha zoezi la kumuongezea mkataba kipa huyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited