Kiungo raia wa Mali Sadio Kanoute amejiunga na mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba SC kwa mkataba wa miaka miwili kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi.
Kanoute alifanya vizuri katika michuano ya CHAN mwaka jana nchini Cameroon na anafunga usajili wa wachezaji wa kigeni ndani ya timu hiyo baada ya kutimia wachezaji 12 idadi inayoruhusiwa kikanuni.
Mchezaji huyo ana uwezo wa kucheza nafasi zote za kiungo wa kati.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.