Home Soka Kanoute atua Msimbazi

Kanoute atua Msimbazi

by Sports Leo
0 comments

Kiungo raia wa Mali Sadio Kanoute amejiunga na mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba SC kwa mkataba wa miaka miwili kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi.

Kanoute alifanya vizuri katika michuano ya CHAN mwaka jana nchini Cameroon na anafunga usajili wa wachezaji wa kigeni ndani ya timu hiyo baada ya kutimia wachezaji 12 idadi inayoruhusiwa kikanuni.

Mchezaji huyo ana uwezo wa kucheza nafasi zote za kiungo wa kati.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited