Bao pekee lililofungwa na kinda Joshua Kimich dakika ya 43 limeihakikishia Bayern Munich ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Borrusia Dortmund katika mchezo wa ligi kuu ya ujerumani(Bundesliga).
Bayern wanaendelea kusalia kileleni kwa tofauti ya points 7 wakiwa na points 64 huku Dortmund wakisalia nafasi ya pili na alama zao 57 licha ya kupata ushindi katika mchezo wa awali dhidi ya Schalke 04.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.