Home Soka Kipa la MALI latua JANGWANI

Kipa la MALI latua JANGWANI

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya soka ya Yanga imefanikiwa kuipata saini ya mlinda mlango wa kimataifa wa Mali Djigui Diarra 26, kukipiga kwa mabingwa hao wa kihistoria wa Tanzania.

Golikipa huyo amesajiliwa kutoka klabu ya Stade Malien ya kwao Mali aliyokua akiichezea tangu mwaka 2006.

Diarra anakuja kuchukua nafasi ya magolikipa Metacha Mnata na Farouk Shikalo katika kikosi cha kwanza wanaohusishwa kuondoka kwa wanachi hao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited