Klabu ya soka ya Yanga imefanikiwa kuipata saini ya mlinda mlango wa kimataifa wa Mali Djigui Diarra 26, kukipiga kwa mabingwa hao wa kihistoria wa Tanzania.
Golikipa huyo amesajiliwa kutoka klabu ya Stade Malien ya kwao Mali aliyokua akiichezea tangu mwaka 2006.
Diarra anakuja kuchukua nafasi ya magolikipa Metacha Mnata na Farouk Shikalo katika kikosi cha kwanza wanaohusishwa kuondoka kwa wanachi hao.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.