Home Soka Kisinda kuondoka Yanga

Kisinda kuondoka Yanga

by Sports Leo
0 comments

Winga wa klabu ya soka ya Yanga anakaribia kuihama timu hiyo mara baada ya kupokea ofa ya kujiunga na klabu ya RS Berkane kutoka katika nchi ya Morocco.

Kaimu Katibu mkuu wa Yanga Haji Mfikirwa ameeleza kuwa ofa waliyoipokea kutoka Berkane kwaajili ya Kisinda ni nzuri kwao kama klabu na kwa mchezaji pia hasa ukizingatia muda uliobaki kwenye mkataba wake kuwa mfupi.

Yanga inahusishwa kumsaini winga kutoka klabu ya As Vita Jesus Moloko kuwa mbadili wa Mkongomani mwenzake katika katika klabu hiyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited