Home Soka Kiungo Stars Atua Timu Ya Rooney

Kiungo Stars Atua Timu Ya Rooney

by Sports Leo
0 comments

Kiungo wa Taifa Stars, Ally Ng’anzi ajiunga na timu ya Loudoun United FC ambayo ni timu ya akiba ya DC United aliyokuwa akichezea nahodha wa England, Wayne Rooney.

Kiungo huyo wa Taifa Stars amekamilisha uhamisho huo baada yakumalizana na Minnesota FC ya huko huko Marekani aliyokua akiitimikia hapo awali.

Ng’anzi anaingia kwenye historia ya mastaa kadhaa wa kitanzania waliokipiga nchini Marekani kama Nizar Khalfan,Nadir Haroub ‘Canavaro’ na Abdala Shaibu Ninja.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited