Kiungo wa Taifa Stars, Ally Ng’anzi ajiunga na timu ya Loudoun United FC ambayo ni timu ya akiba ya DC United aliyokuwa akichezea nahodha wa England, Wayne Rooney.
Kiungo huyo wa Taifa Stars amekamilisha uhamisho huo baada yakumalizana na Minnesota FC ya huko huko Marekani aliyokua akiitimikia hapo awali.
Ng’anzi anaingia kwenye historia ya mastaa kadhaa wa kitanzania waliokipiga nchini Marekani kama Nizar Khalfan,Nadir Haroub ‘Canavaro’ na Abdala Shaibu Ninja.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.