Home Soka Kiungo Yanga sc Atua Ihefu

Kiungo Yanga sc Atua Ihefu

by Dennis Msotwa
0 comments

Kiungo wa zamani wa klabu ya Yanga sc Rafael Daud Loth amejiunga na klabu ya Ihefu Fc miezi sita baada ya usajili wake wa awali kujiunga na Mwadui Fc kukwama.

Daud ni mmoja ya viungo washambuliaji wazoefu huku wakiwa na kimo kizuri kuweza kuhimili mikiki ya viwanjani ambapo aling’ara zaidi akiwa na Yanga sc aliyojiunga nayo msimu wa 2017 akicheza kwa muda wa miaka miwili.

Loth ataisaidia Ihefu ambayo imekua na matokeo yasiyoridhisha kiasi cha kutishia uhai wake katika ligi kuu nchini.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited