Home Soka Kocha Yanga sc Atua Chippa United

Kocha Yanga sc Atua Chippa United

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Chippa United ya ligi kuu nchini Afrika Kusini, imethibitisha kuteuliwa kwa Mbelgiji, Luc Eymael (61) kama kocha wao Mkuu mpya inayoshiriki ligi kuu nchini humo.

Mkongwe huyo katika bara hili ambaye amesimamia vilabu kama AS Vita, AFC Leopards, Rayon Sports, Al Merriekh, Free State Stars, Polokwane City, Yanga SC na zingine; Amesaini Mkataba wa Hadi mwisho wa Msimu huu wa DStv Premiership ambao upo mzunguko wa nane.

Baada ya Mechi hizo nane, Chippa inashika Nafasi ya 14 kwa pointi tano huku ikiwa imepata ushindi Mara moja, Sare Mbili na Vipigo Vitano.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited