Home Soka Lokosa Kutua Norway

Lokosa Kutua Norway

by Dennis Msotwa
0 comments

Imeripotiwa kuwa Klabu ya Strømsgodset inayoshiriki Ligi Kuu nchini Norway inahitaji saini ya mshambuliaji wa Simba, Mnigeria Lokosa Junior.

Lokosa mwenye umri wa miaka 27, ana mkataba wa miezi SITA na Simba SC, Lakini klabu hiyo imeonyesha nia ya kununua kandarasi hiyo.

Rekodi zinaonyesha kuwa Lokosa akiwa Kano Pillars ya kwao Nigeria ndani ya msimu wake wa kwanza tu, alicheza mechi 14 na kutupia nyavuni mabao matano hiyo ikiwa mwaka 2017.

banner

Msimu uliofuata, 2018 aliendelea kuuwasha moto na kufunga mabao 14 katika michezo 15 tu.

Cc:Shaffihdauda

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited