Home Soka Luc Aipongeza Simba sc

Luc Aipongeza Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Kocha mkuu Yanga Sc Luc Eymael atoa pongezi kwa Simba Sc kwa kutwaa taji la ligi kuu Tanzania bara msimu huu  .

Simba sc imetwaa taji hilo ikiwa ni mara ya tatu mfululizo baada ya kukaa bila taji kwa takribani miaka mitano ambapo uwekezaji wa bilionea Mohamed Dewji umeonekana kuleta mafanikio.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited